Wednesday, April 29, 2020

KIM JONG UN

Inasadikika kuwa alizaliwa mnamo 8th January 1984 ni mjukuu wa Kim II Sung na mtoto wa Kim Jong il
    Ana shahada mbili, moja ikiwa ya Fizikia aliyoipata katika chuo cha Kim II Sung na moja ni ya Jeshi aliyoipata katika chuo cha Kim II Sung pia
     Huyu si mwingine ni Kim Jong Un mtoto wa pili wa Kim Jong il, Kim Jong Un ndiye mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi nchini Korea ya kaskazini
     Inakadiriwa aliendesha operation ya kuondoa wasaliti katika Serikali ya Kim Jong il, operesheni iliyogharimu karibia watu 400 maisha pamoja kufungwa jela
   Ni operesheni ambayo haijawahi kutokea tangu uongozi wa babu yake bwana Kim II Sung na alipewa heshima kubwa sana nchini mwake

No comments:

Post a Comment

HISTORIA YA LUGHA Nadharia juu ya lugha ya kiswahili Kuna nadharia mbali mbali zinazoelezea asili ya lugha ya ...