Wednesday, April 29, 2020

KIM JONG UN

Inasadikika kuwa alizaliwa mnamo 8th January 1984 ni mjukuu wa Kim II Sung na mtoto wa Kim Jong il
    Ana shahada mbili, moja ikiwa ya Fizikia aliyoipata katika chuo cha Kim II Sung na moja ni ya Jeshi aliyoipata katika chuo cha Kim II Sung pia
     Huyu si mwingine ni Kim Jong Un mtoto wa pili wa Kim Jong il, Kim Jong Un ndiye mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi nchini Korea ya kaskazini
     Inakadiriwa aliendesha operation ya kuondoa wasaliti katika Serikali ya Kim Jong il, operesheni iliyogharimu karibia watu 400 maisha pamoja kufungwa jela
   Ni operesheni ambayo haijawahi kutokea tangu uongozi wa babu yake bwana Kim II Sung na alipewa heshima kubwa sana nchini mwake

IDD AMIN DADA

Mwaka 1971 aliipindua serikali ya Milton Obote, na kujitangaza kuwa yeye ndiye Rais wa Uganda. Amin aliiongoza nchi ya Uganda kwa mkono wa Chuma,        Alizaliwa mnamo 1925 huko KOBOKO kaskazini magharibi mwa Uganda, Wazazi wake walitenga kutokana na matatizo ya kifamilia ambayo sitayaelezea hapa         Miaka ya 1946 alijiunga na jeshi la King's African Rifles (KAR) na mwaka 1949 alipelekwa Somalia kwenda kupigana na wahuni wakisomali           Miaka ya 1951-1960 Amin akiwa mwanajeshi alitwaa ubingwa wa mashindano ya heavy weight boxing         Amin aliondolewa madarakani baada ya kupigwa na majeshi ya nchi jirani, jeshi tiifu la Tanzania 🇹🇿 chini ya amiri jeshi mkuu Hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere

HISTORIA YA LUGHA Nadharia juu ya lugha ya kiswahili Kuna nadharia mbali mbali zinazoelezea asili ya lugha ya ...