Sunday, September 20, 2020

HISTORIA YA LUGHA

Nadharia juu ya lugha ya kiswahili

Kuna nadharia mbali mbali zinazoelezea asili ya lugha ya kiswahili, baadhi ya nadharia hizo ni pamoja na
kiswahili ni kikongo
kiswahili ni kiarabu
kiswahili ni lugha ya vizalia
kiswahili ni pijini au krioli

Leo tutaangazia nadharia inayodai kuwa kiswahili ni kikongo, tutaweza pia kuangalia mapungufu au udhaifu wa nadharia hii

Kiswahili ni kikongo

Baadhi ya wataalam hudai kuwa luvha ya kiswahili asili yake ni kongo, nadharia hii hudai kuwa hapo mwanzo (zamani) pwani ya afrika mashariki haikuwa ikikaliwa na watu ma baadae kutokana na ugumu wa maisha watu kutoka misitu ya kongo ambao kwa asili shughuli yao ilikuwa ni ufugaji walifika pwani ya Afrika mashariki kupitia ujiji kutafta marisho ya mifugo yao

Madai haya hudai kuwa watu hawa kutokana na shughuli za kiuchumi walifika pwani ya Afrika mashariki wakiwa na lugha yao ambayo ni kisawhili

Madhaifu ya nadharia hii ni kwamba inashindwa kubainisha kuwa ni lini hasa hawa watu kutoka kongo walianza kuishi katikavpwani ya Afrika mashariki

bonyeza hapa kusoma zaidi

Wednesday, September 16, 2020

Register form

Register form
Name:
Password:
Gender: Male Female
Email:
Phone:

Saturday, September 5, 2020

HISTORY

History

Establishment of colonial Economy

After the imposition of colonial rule in Africa the European established the colonial economy so as to serve their mother countries

Tactics used to establish colonial economy

In order to make sure that the establishment of colonial Economy to be useful, different tactics were employed like Creation, Preservation and Destruction

Creation

The colonialist alot of things that were not available before like
Introduction of cash crops
Introduction of taxation
Introduction of money economy

Preservation

There are few things were preserved by the colonialist like family labourwas accepted by the colonialists

Destruction

The colonialists tended to destruct the African economy like owning major means of production as well as the local industries were destructed so as to avoid competition in the market

HISTORIA YA LUGHA Nadharia juu ya lugha ya kiswahili Kuna nadharia mbali mbali zinazoelezea asili ya lugha ya ...